Rukia maudhui
Mathayo 17:22-23

Yesu Atabiri Tena Kifo Chake

Mathayo 17:22-23
22
Siku moja walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.
23
Nao watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.” Wanafunzi wakahuzunika sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options