Skip to content
Mathayo 17:20-21

Mathayo 17:20-21

20
Akawajibu, “Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mtauambia mlima huu, ‘Ondoka hapa uende pale,’ nao utaondoka. Wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu. [
21
Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options