Skip to content
Mathayo 17:1-2

Mathayo 17:1-2

1
Siku sita baada ya jambo hili, Yesu akawachukua Petro, Yakobo na Yohana ndugu yake Yakobo, akawapeleka juu ya mlima mrefu peke yao.
2
Wakiwa huko, Yesu alibadilika sura mbele yao. Uso wake ukangʼaa kama jua na nguo zake zikawa na weupe wa kuumiza macho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options