Skip to content
Mathayo 15:30-31

Mathayo 15:30-31

30
Umati mkubwa wa watu ukamjia, wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; naye akawaponya.
31
Hao watu wakashangaa walipoona bubu wakisema, vilema wakipona, viwete wakitembea na vipofu wakiona, wakamtukuza Mungu wa Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options