Skip to content
Mathayo 15:1-2

Mathayo 15:1-2

1
Ndipo baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria wakamjia Yesu kutoka Yerusalemu na kumuuliza,
2
“Mbona wanafunzi wako wanakiuka mapokeo ya wazee? Kwa maana wao hawanawi mikono yao kabla ya kula!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options