Skip to content
Mathayo 14:6-10

Mathayo 14:6-10

6
Katika siku ya kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode, binti wa Herodia alicheza mbele ya watu waliohudhuria, akamfurahisha sana Herode,
7
kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.
8
Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
9
Mfalme akasikitika, lakini kwa sababu ya viapo alivyoapa mbele ya wageni, akaamuru kwamba apatiwe ombi lake.
10
Hivyo akaagiza Yohana Mbatizaji akatwe kichwa mle gerezani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options