Skip to content
Mathayo 12:46-47

Mathayo 12:46-47

46
Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye.
47
Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options