Skip to content
Mathayo 12:18-21

Mathayo 12:18-21

18
“Tazama mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Nitaweka Roho wangu juu yake, naye atatangaza haki kwa mataifa.
19
Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.
20
Mwanzi uliopondeka hatauvunja, na utambi unaofuka moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya haki ishinde.
21
Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options