Mathayo 11:1
Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
2
Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake
3
ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4
Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona:
Settings