Mathayo 10:5-7
5
Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria.
6
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’