Skip to content
Mathayo 10:5-7

Mathayo 10:5-7

5
Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria.
6
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options