Skip to content
Mathayo 10:34-36

Mathayo 10:34-36

34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
35
Kwa maana nimekuja kumfitini “ ‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake;
36
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options