Skip to content
Mathayo 10:29-31

Mathayo 10:29-31

29
Je, shomoro wawili hawauzwi kwa senti moja tu? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini pasipo Baba yenu kujua.
30
Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa.
31
Hivyo msiogope; kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options