Mathayo 1:1-3
1
Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:
2
Abrahamu akamzaa Isaki, Isaki akamzaa Yakobo, Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,
3
Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari, Peresi akamzaa Hesroni, Hesroni akamzaa Aramu,