Skip to content
Marko 9:25-27

Marko 9:25-27

25
Yesu alipoona kwamba umati wa watu unakusanyika pamoja mbio, akamkemea yule pepo mchafu, akimwambia, “Wewe pepo bubu na kiziwi, nakuamuru umtoke, wala usimwingie tena!”
26
Yule pepo mchafu akiisha kupiga kelele, akamtia kifafa kwa nguvu, na akamtoka. Yule mvulana alikuwa kama maiti, hivyo watu wengi wakasema, “Amekufa.”
27
Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options