Skip to content
Marko 8:6-9

Marko 8:6-9

6
Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo.
7
Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.
8
Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
9
Watu waliokula walikuwa wapata 4,000. Akiisha kuwaaga,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options