Marko 8:32-33
32
Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.
33
Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia wanafunzi wake, akamkemea Petro. Akasema, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”