Rukia maudhui
Marko 6:34-36

Marko 6:34-36

34
Yesu alipofika kando ya bahari, aliona makutano makubwa ya watu, akawahurumia kwa maana walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi.
35
Mchana ulipokuwa umeendelea sana, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, nazo saa zimekwenda sana.
36
Waage watu ili waende mashambani na vijijini jirani, wakajinunulie chakula.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options