Skip to content
Marko 4:26-27

Marko 4:26-27

26
Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.
27
Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options