Skip to content
Marko 4:26-29

Marko 4:26-29

26
Pia akawaambia, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.
27
Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
28
Udongo huifanya iote kuwa mche, halafu suke, kisha nafaka kamili kwenye suke.
29
Lakini nafaka inapokuwa imekomaa, mara mkulima huingia shambani na mundu wa kuvunia, maana mavuno yamekuwa tayari.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options