Skip to content
Marko 4:21-23

Marko 4:21-23

21
Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?
22
Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.
23
Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options