Skip to content
Marko 2:6-7

Marko 2:6-7

6
Basi baadhi ya walimu wa sheria waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,
7
“Kwa nini mtu huyu anasema hivi? Huyu anakufuru! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options