Marko 15:37-39
37
Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
38
Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
39
Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”