Skip to content
Marko 13:26-27

Marko 13:26-27

26
“Ndipo watu wote watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.
27
Naye atawatuma malaika wake wawakusanye wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka miisho ya dunia hadi miisho ya mbingu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options