Skip to content
Marko 13:24-26

Marko 13:24-26

24
“Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “ ‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake;
25
nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’
26
“Ndipo watu wote watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu nyingi na utukufu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options