Skip to content
Marko 13:14-15

Marko 13:14-15

14
“Mtakapoona ‘chukizo la uharibifu’ limesimama mahali pasipolipasa (asomaye na afahamu), basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
15
Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua chochote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options