Skip to content
Marko 12:39-40

Marko 12:39-40

39
Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu.
40
Wao hula nyumba za wajane, na ili waonekane kuwa wema wanasali sala ndefu. Watu kama hawa watapata hukumu iliyo kuu sana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options