Skip to content
Marko 10:9-12

Marko 10:9-12

9
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
10
Walipokuwa tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza kuhusu jambo hili.
11
Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye.
12
Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options