Marko 10:9-12
9
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
10
Walipokuwa tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza kuhusu jambo hili.
11
Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye.
12
Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”