Ir para o conteúdo
Marko 10:49-51

Marko 10:49-51

49
Yesu akasimama na kusema, “Mwiteni.” Hivyo wakamwita yule mtu kipofu, wakamwambia, “Jipe moyo! Inuka, anakuita.”
50
Akiwa analivua lile joho lake, alisimama na kumwendea Yesu.
51
Yesu akamuuliza, “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akajibu, “Mwalimu, nataka kuona.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options