Ir al contenido
Marko 1:38-39

Marko 1:38-39

38
Yesu akawajibu, “Twendeni mahali pengine kwenye vijiji jirani, ili niweze kuhubiri huko pia, kwa sababu hicho ndicho nilichokuja kukifanya.”
39
Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo wachafu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options