Skip to content
Marko 1:35-37

Marko 1:35-37

35
Alfajiri na mapema sana kulipokuwa bado kuna giza, Yesu akaamka, akaondoka, akaenda mahali pa faragha ili kuomba.
36
Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta,
37
nao walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options