મુખ્ય સામગ્રી પર જાઓ
Marko 1:26-27

Marko 1:26-27

26
Yule pepo mchafu akamtikisatikisa huyo mtu kwa nguvu, kisha akamtoka akipiga kelele kwa sauti kubwa.
27
Watu wote wakashangaa, hata wakaulizana wao kwa wao, “Haya ni mambo gani? Ni mafundisho mapya, tena yenye mamlaka! Anaamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options