Skip to content
Marko 1:23-26

Marko 1:23-26

23
Wakati huo huo katika sinagogi lao palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu,
24
naye akapiga kelele akisema, “Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu!”
25
Lakini Yesu akamkemea, akamwambia, “Nyamaza kimya! Nawe umtoke!”
26
Yule pepo mchafu akamtikisatikisa huyo mtu kwa nguvu, kisha akamtoka akipiga kelele kwa sauti kubwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options