Skip to content
Marko 1:2-3

Marko 1:2-3

2
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Tazama, nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako”:
3
“sauti ya mtu aliaye nyikani. ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’ ”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options