Skip to content
Marko 1:14-15

Marko 1:14-15

14
Baada ya Yohana kukamatwa na kutiwa gerezani, Yesu aliingia Galilaya akaanza kuhubiri habari njema ya Mungu,
15
akisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options