Skip to content
Marko 1:12-13

Kujaribiwa Jangwani

Marko 1:12-13
12
Wakati huo huo, Roho akamwongoza Yesu kwenda nyikani,
13
naye akawa huko nyikani kwa muda wa siku arobaini, akijaribiwa na Shetani. Alikaa na wanyama wa mwituni, nao malaika wakamhudumia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options