Skip to content
Luka 6:12-16

Luka 6:12-16

12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
13
Kulipopambazuka, akawaita wanafunzi wake, naye akachagua kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume:
14
Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
15
Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
16
Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options