Skip to content
Luka 6:12-13

Luka 6:12-13

12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
13
Kulipopambazuka, akawaita wanafunzi wake, naye akachagua kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options