Skip to content
Luka 3:4-6

Luka 3:4-6

4
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
5
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
6
Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options