Naar de inhoud
Luka 24:46-51

Luka 24:46-51

46
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
47
Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
48
Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
49
“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
50
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options