Skip to content
Luka 23:44-46

Luka 23:44-46

44
Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa,
45
kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
46
Yesu akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options