Skip to content
Luka 23:23-25

Luka 23:23-25

23
Lakini watu wakazidi kupiga kelele kwa nguvu zaidi, wakidai kwamba Yesu asulubiwe. Hivyo, kelele zao zikashinda.
24
Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
25
Akamfungua yule mtu aliyekuwa amefungwa gerezani kwa kuhusika katika uasi dhidi ya serikali na mauaji. Akamkabidhi Yesu mikononi mwao, wamfanyie watakavyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options