Skip to content
Luka 23:21-23

Luka 23:21-23

21
Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”
22
Kwa mara ya tatu, Pilato akawauliza, “Kwani amefanya kosa gani huyu mtu? Sikuona kwake sababu yoyote inayostahili adhabu ya kifo. Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi, na kisha nitamwachia.”
23
Lakini watu wakazidi kupiga kelele kwa nguvu zaidi, wakidai kwamba Yesu asulubiwe. Hivyo, kelele zao zikashinda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options