Skip to content
Luka 23:13-16

Luka 23:13-16

13
Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,
14
akawaambia, “Ninyi mlimleta huyu mtu kwangu kana kwamba ni mtu anayewachochea watu ili waasi. Nimemhoji mbele yenu nami nimeona hakuna msingi wowote wa mashtaka yenu dhidi yake.
15
Wala Herode hakumwona na kosa lolote, ndiyo sababu amemrudisha kwetu. Kama mnavyoona, mtu huyu hakufanya jambo lolote linalostahili kifo.
16
Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na kumwachia.” [
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options