Skip to content
Luka 22:45-46

Luka 22:45-46

45
Baada ya kuomba, akawarudia wanafunzi wake akawakuta wamelala, wakiwa wamechoka kutokana na huzuni.
46
Naye akawauliza, “Mbona mmelala? Amkeni, mwombe ili msije mkaingia majaribuni.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options