Skip to content
Luka 22:21-23

Luka 22:21-23

21
Lakini mkono wake huyo atakayenisaliti uko hapa mezani pamoja nami.
22
Mwana wa Adamu anaenda zake kama ilivyokusudiwa. Lakini ole wake mtu huyo amsalitiye.”
23
Wakaanza kuulizana wenyewe ni nani miongoni mwao angeweza kufanya jambo hilo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options