Skip to content
Luka 2:29-32

Luka 2:29-32

29
“Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.
30
Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,
31
ulioweka tayari machoni pa watu wote,
32
nuru kwa ajili ya ufunuo kwa watu wa Mataifa na kwa ajili ya utukufu kwa watu wako Israeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options