Skip to content
Luka 19:32-36

Luka 19:32-36

32
Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
33
Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
34
Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
35
Wakamleta kwa Yesu, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Yesu juu yake.
36
Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options