Skip to content
Luka 17:3-4

Luka 17:3-4

3
Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
4
Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options