Skip to content
Luka 15:1-2

Luka 15:1-2

1
Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Yesu.
2
Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria wakanungʼunika wakisema, “Huyu mtu anawakaribisha wenye dhambi na kula nao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options