मुख्य मजकुरावर जा
Luka 15:1-3

Yesu Awakaribisha Wenye Dhambi

Luka 15:1-3
1
Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Yesu.
2
Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria wakanungʼunika wakisema, “Huyu mtu anawakaribisha wenye dhambi na kula nao.”
3
Ndipo Yesu akawaambia mfano huu:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options